#KURASA_KUMI ZA KITABU LEO; Ishi Maisha Yako Na Waruhusu Wengine Kuishi Maisha Yao.

By | December 5, 2017
KITABU; Meditations / Marcus Aurelius. UKURASA; 38 – 47. Ni tabia yetu binadamu kutaka watu wawe kama tunavyotaka kuwa sisi. Kutaka wafanye kile tunachotaka wafanye na hata kufikiri vile tunavyotaka sisi wafikiri. Marcus anatuambia huku ni kupoteza muda wetu, kwa sababu hatuwezi kuwafanya wengine wawe kama tunavyotaka siai. Wala hatupaswi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #KURASA_KUMI ZA KITABU KILA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz