UKURASA WA 1080; Kama Unasubiri Mpaka Uweze Kumudu, Utachelewa Sana…

By | December 15, 2017
Kuna mambo mengi ambayo tunaweza kuwa tunayapenda kwenye maisha yetu, lakini kwa hali tunayokuwa nayo kwa wakati huo, tunaona hatuwezi kuyamudu. Na hivyo tunaamua kusubiri ili tuweze kuyamudu mambo hayo. Na hapo sasa ndipo tunapojichelewesha kwa kiasi kikubwa sana. Ni vigumu sana kuweza kumudu kila kitu ambacho mtu unakitaka kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz