UKURASA WA 1116; Vitu Vitatu Vya Kujijengea Uwezo Ili Kuwa Na Maisha Ya Uhuru Na Mafanikio.

By | January 20, 2018
Tunadanganyika kwamba uhuru ni kuweza kupata kila unachokitaka kwa namna unavyotaka wewe. Na mafanikio ni kuwa na kila unachokitaka kwa namna unavyotaka wewe. Yote hayo mawili ni uongo kwa sababu hakuna yeyote anayeweza kupata kila anachokitaka kwa wakati anaotaka na namna anavyotaka yeye. Kuna wewe kutaka na kuna dunia kutoa.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz