UKURASA WA 1154; Tengeneza Vitu…

By | February 27, 2018
Kuna mtu mmoja amewahi kunukuliwa akisema duniani kuna makundi matatu ya watu, wale ambao wanafanya vitu vitokee, wale ambao wanashangaa vitu vinavyotokea na wale ambao hawajui nini kinachotokea. Unahitaji kuwa kwenye kundi la kwanza kama unataka kuwa na mafanikio kwenye maisha yako, kuwa kwenye kundi la wanaofanya vitu vitokee, kuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz