MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; UTUMWA HAUSHIKI WATU, BALI WATU WANASHIKA UTUMWA…
Slavery takes hold of few, but many take hold of slavery. – Lucius Annaeus Seneca Hongera mwanamafanikio kwa siki hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni fursa bora kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora . Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo