MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1158; Haki Yako Ya Kuteseka…
Kwenye maisha, maumivu na kushindwa ni sehemu ya kawaida kabisa ya maisha. Siyo mambo yote yanakwenda kama sisi tunavyotaka yaende, au kama tulivyodhani yatakwenda. Lakini kuna kitu ambacho siyo lazima kiwepo, na kitu hicho ni kuteseka. Japo tunaoanisha maumivu au kushindwa na kuteseka, siyo vitu ambavyo lazima viende pamoja. Bali