MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1166; Je Unaijua Nishati Ya Hamasa Yako?
Kila mtu ana nishati ambayo inachochea hamasa yake, kitu ambacho kinampa ari ya kuendelea zaidi hata kama mambo yanaonekana kuwa magumu. Hatua ya kwanza kwako ni kujua nishati ya hamasa yako, ili uweze kuitumia kila wakati, hasa pale unapotaka kukata tamaa au kuahirisha kile ambacho umepanga kufanya. Ukishaijua nishati ya