UKURASA WA 1170; Maisha Yakiwa Mteremko Sana Unasahau Maono Yako…

By | March 15, 2018
Watu wa kawaida, wanapowaangalia watu waliofanikiwa huwa wanaona kama watu hao wanajitesa. Huwa wanaona watu hao licha ya kuwa na fedha nyingi, maisha yao ni ya kawaida sana na wanaendelea kuweka juhudi kubwa kwenye kazi zao kama vile ndiyo wanaanza. Watu wa kawaida hujiambia kama wakiwa na fedha kama walizonazo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz