UKURASA WA 1174; Usipange Kutokufanya Kitu Fulani, Ni Njia Ya Kushindwa….

By | March 19, 2018
Katika mipango yetu ya maisha, kuna vitu ambavyo tumekuwa tunafanya ambavyo vinaturudisha nyuma au vinatuzuia kufika kule ambapo tunataka kufika. Na hivyo katika kuhakikisha tunaondokana na mambo hayo, tunapanga kutokufanya vitu fulani. Lakini kinachotokea ni kwamba, tunajikuta bado tunafanya, na hivyo kuona kama tumeshindwa kuondokana na mambo hayo yanayoturudisha nyuma.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz