UKURASA WA 1178; Jinsi Ya Kuacha Tabia Mbaya Kishujaa Na Kikatili…

By | March 23, 2018
Kuna vitu ambavyo watu tumekuwa tunafanya, ambavyo vimeshakuwa tabia kwetu, lakini havitupi matokeo ambayo tumekuwa tunayategemea. Lakini kwa kuwa vitu hivyo vimeshakuwa tabia, inakuwa vigumu kwetu kuacha kuvifanya na kwa kuwa tunaendelea kufanya, tunaendelea kupata matokeo yale yale. Iko hivi rafiki, kipato utakachopata kesho, hakitakuwa tofauti na kile ulichopata jana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz