MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; WAANGALIE WANAOJARIBU MAKUBWA, HATA KAMA WANASHINDWA…
If thou art a man, admire those who attempt great things, even though they fail – Lucius Annaeus Seneca Habari za asubuhi ya leo mwanamafanikio? Tumeipata siku nyingine, siku mpya na ya kipekee kwetu kwenda kuishi kwa msingi wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA NA