UKURASA WA 1222; Jinsi Ya Kujua Tabia Halisi Ya Mtu Kwenye Ufanyaji…

By | May 6, 2018
Ni vigumu sana kuzijua tabia za binadamu, kwa sababu kinachotutofautisha sisi binadamu na viumbe wengine, ni uwezo wetu wa kuhadaa wengine. Tunaweza kuwatega wanyama wakali kama simba na chui kwa sababu wanatabirika. Lakini kumtega binadamu ni kugumu kwa sababu hatabiriki, na anaweza kuhadaa. Hivyo unapojifanya unatafuta kujua tabia ya mtu,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz