UKURASA WA 1239; Fanya Kwa Kujali Zaidi…

By | May 23, 2018
Siku ya kwanza kwa mtu kufanya chochote kile, huwa anaifanya kwa kujali sana, anaweka juhudi kubwa katika kufanya na hiyo inamletea matokeo bora sana. Lakini sasa yanakuja mazoea, baada ya muda mtu anazoea kile anachofanya, anazoea matokeo ambayo amekuwa anapata na anaanza kupata matokeo ambayo siyo makubwa tena. Kwa matokeo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz