BIASHARA LEO; Mteja Hatakumbuka Zaidi Bei, Bali Hichi Muhimu…

By | July 15, 2018
Wafanyabiashara wengi wamekuwa wakifikiri kwamba kikwazo cha wateja kununua kwao ni bei. Wengi wanashawishika kwamba wakishusha bei basi watapata wateja wengi. Na wakijaribu kufanya hivyo mwanzoni wanaweza kuona ongezeko la wateja, lakini mwisho wa siku hilo haliwasaidii kwenye ukuaji wa biashara zao. Hii ni kwa sababu moja, wateja makini wa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz