BIASHARA LEO; Kwenye Biashara Ndogo, Mafanikio Yanategemea Kitu Hichi Kimoja…

By | July 16, 2018
Biashara ndogo ni biashara ngumu sana kufanya, kwa sababu wewe mfanyabiashara ndiyo unakuwa kila kitu kwenye biashara yako. Maamuzi yote kwenye biashara yako yanakutegemea wewe, na kwa wingi wa majukumu yako, ni rahisi kushindwa kuweka mkazo kwenye maeneo muhimu ya ukuaji wa biashara yako. Unapokuwa kwenye biashara ndogo, kila siku

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz