BIASHARA LEO; Kupunguza Bei Ni Uvivu Kibiashara…

By | July 17, 2018
Kama unapunguza bei kwa sababu gharama zako za uzalishaji au za kuendesha biashara zimepungua na unajali wateja wako wapate kilicho bora, hongera sana. Lakini kama unapunguza bei kwa sababu unataka wateja wengi zaidi waje kwako badala ya kwenda kwa washindani wako kibiashara, nina habari mbaya kwako, huo ni uvivu wa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz