BIASHARA LEO; Kila Unachofanya Kwenye Biashara Yako, Anza Na Mteja…

By | July 19, 2018
Kuna maamuzi mengi ambayo watu huwa wanafanya kwenye biashara zao. Lakini cha kushangaza maamuzi mengi yanayofanywa, ni kwa sababu ya mmiliki wa biashara na siyo kwa sababu ya mteja. Mtu anaamua kufanya kitu kwa sababu yeye ndiye anayependa kiwe hivyo, na siyo kwamba mteja ndiyo anapenda kiwe hivyo. Unapokuwa kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz