BIASHARA LEO; Jina La Mchezo Ni Mauzo…

By | July 20, 2018
Kitu cha kwanza kitakachofanya biashara istawi au kufa ni mauzo. Hili ndilo eneo linaloleta fedha kwenye biashara na fedha ndiyo damu ya biashara. Kama huuzi huna biashara, kama huuzi biashara itakufa. Mauzo ni eneo muhimu sana kwenye biashara yako, na kama nilivyoeleza kwenye kichwa hapo juu, ndiyo jina la mchezo,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz