UKURASA WA 1307; Tatizo La Tabia Za Watu Waliofanikiwa…

By | July 30, 2018
Huwa tunasema mafanikio yanaambukizwa. Kwamba kama utafanya kile ambacho waliofanikiwa wanafanya, basi unakuwa na nafasi kubwa ya wewe kufanikiwa pia. Na huu ndiyo umuhimu wa kuzijua tabia za watu waliofanikiwa ili kuweza kuziingiza kwenye maisha yetu pia. Lakini kuna tatizo moja kwenye tabia za watu waliofanikiwa, kadiri unavyozidi kuwafuatilia wengi,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz