BIASHARA LEO; Swali Moja Muhimu Kumuuliza Mteja Pale Anapokuambia Bei Yako Ni Kubwa Sana…

By | August 3, 2018
Usemi unaopaswa kuukumbuka kwenye biashara yako kila siku ni huu, mara zote mteja yupo sahihi. Hata kama kwa upande wako anakosea, jua kwamba kwa upande wake na kwa mtazamo wake, mteja mara zote yupo sahihi. Wafanyabiashara wengi wamekuwa wanafanya kosa sana kujaribu kuwaonesha wateja hawapo sahihi, kinachotokea wateja wanajisikia vibaya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz