UKURASA WA 1321; Chukua Dakika Chache Kufanya Zoezi Hili La Kukuamsha…

By | August 13, 2018
Mwanafalsafa Socrates alinukuliwa kusema maisha ambayo hayapimwi wala kuhojiwa hayana maana ya kuishi. Haijalishi tuna misingi mizuri kiasi gani tunayoishi kwenye maisha yetu, mara kwa mara tutajikuta tunaanguka. Tunajikuta tunafanya vitu vinavyoenda kinyume na misingi yetu. Siyo rahisi kuona vitu hivyo kama mtu utakuwa unafanya kwa mazoea. Kama mtu utakuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz