BIASHARA LEO; Usimsahau Mteja Huyu Wa Kwanza Na Muhimu Kwa Biashara Yako…

By | August 17, 2018
Mteja wa kwanza na muhimu sana kwa biashara yako, ni mtu yeyote ambaye anafanya kazi kwenye biashara yako. Wasaidizi wako kwenye biashara, yeyote yule anayejihusisha na biashara hiyo, ni mteja wa kwanza na wa muhimu sana kwenye biashara yako. Kwa sababu hawa ni wateja ambao wanaweza kuwakaribisha wateja wakanunua zaidi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz