UKURASA WA 1325; Acha Kujikatisha Tamaa Wewe Mwenyewe…

By | August 17, 2018
Kuna baadhi ya vitu inabidi uone huruma kujifanyia kwenye maisha yako, kwa sababu kila mtu anakazana kukufanyia. Moja ya vitu hivyo ni kukata tamaa. Watu wengi waliokuzunguka wanajaribu kukukatisha tamaa. Sasa kama na wewe mwenyewe utajikatisha tamaa, nafasi yako ya kufanikiwa itakuwa sifuri kabisa. Unahitaji kuwa mtu pekee ambaye atasimama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz