UKURASA WA 1340; Kwa Nini Kubadili Tabia Mbaya Siyo Kitu Rahisi…

By | September 1, 2018
Moja ya vitu vinavyotusaidia sisi binadamu na hata viumbe wengine kuendesha maisha yetu kwa urahisi ni tabia. Unapofanya kitu kwa mara ya kwanza, kinakuwa kigumu kwako, kwa sababu unahitaji kufikiria kila hatua kwenye ufanyaji. Lakini kadiri unavyoendelea kufanya, hatua nyingi zinakuwa ni za kujirudia, na hivyo tabia inajengeka ndani yako.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz