UKURASA WA 1354; Kubishana Na Kugombana…

By | September 15, 2018
Ni vitu viwili ambavyo siyo tu vinakupotezea muda na nguvu kwenye kuvifanya, bali pia ni vitu vya kijinga sana kufanya, ambavyo havina mchango wowote kwenye mafanikio yako. Hutaweza kufanikiwa kwa kushinda ubishani au ugomvi wako na wengine. Ubishani na ugomvi ni vitu ambavyo ukishaingia tu tayari umeshashindwa. Kwa sababu hata

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz