#TAFAKARI YA LEO; GHARAMA YA KITU NI MAISHA YAKO…

By | September 16, 2018
“The price of anything is the amount of life you exchange for it.” — Henry David Thoreau AMKA mwanamafanikio, Amka kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo, Amka uende kuianza siku hii kwa hamasa na msukumo mkubwa wa kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz