BIASHARA LEO; Kujenga Imani Ya Wateja Kwenye Bei…

By | September 19, 2018
Wafanyabiashara ndiyo tunaoharibu biashara zetu wenyewe, kwa sababu tunashindwa kutengeneza uaminifu kwenye biashara zetu. Mtu akija kwenye biashara yako, atauliza punguzo la bei, kwa sababu anajua na wewe utakuwa umeweka bei ya juu ili ukiulizwa punguzo uuze kwa bei unayotaka kuuza. Sasa hii ni njia ya hovyo sana ya kuendesha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz