BIASHARA LEO; Jinsi Ya Kuondoa Ukomo Wa Kipato Kwenye Biashara Yako.

By | September 21, 2018
Watu wengi wanapoanza biashara, wanaona ukuaji wa kipato, ambao unawaridhisha sana na kuwapa hamasa ya kuweka juhudi zaidi. Wanaweka juhudi na kipato kinaongezeka zaidi, wanazidi kufurahi na kupata hamasa pia. Wanaongeza tena juhudi na muda wa kazi, na kipato kinaongezeka. Hapo wanajifunza kwamba ukiongeza juhudi na muda, basi kipato kinaongezeka.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz