UKURASA WA 1360; Ruhusa Na Msamaha…

By | September 21, 2018
Rafiki, nimewahi kukuandikia kwamba, kama kuna kitu kikubwa unachotaka kufanya kwenye maisha yako, kitu ambacho hujawahi kufanya na wala wengine hawajawahi kufanya, dunia haitakuruhusu kabisa ukifanye. Hivyo kama utaomba kwanza ruhusa, ukubali mpaka uruhusiwe ndiyo ufanye, hutapata ruhusa unayotaka, na hivyo hutaweza kufanya unachotaka. Badala yake, nilikuambia usiombe ruhusa, badala

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz