BIASHARA LEO; Wingi Wa Wateja Na Ubora Wa Wateja…

By | September 28, 2018
Wafanyabiashara wengi huwa wanafurahi sana pale wanapokuwa na wateja wengi. Kwa sababu wanaamini wingi wa wateja ndiyo mafanikio ya biashara. Na huwa hawaelewi pale wanapokuwa na wateja wengi lakini biashara inakufa, hapo ndipo wanaamini kwamba kuna chuma ulete. Haiwezekani wauze kwa wateja wengi halafu biashara isipate faida. Ipo kampuni moja

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz