MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1383; Epuka Sukari Hii Ya Akili, Inakufanya Uwe Mzembe…
Siku za nyuma, chakula ambacho kilikuwa kinaogopeka sana kiafya kilikuwa ni mafuta. Tafiti za kipindi hicho zilionesha mafuta yanasababisha magonjwa ya moyo kama presha ya kupanda na pia magonjwa kama kisukari. Hivyo mafuta yaliogopewa sana. Lakini kwa sasa, chakula kinachoogopeka zaidi ni sukari. Tafiti nyingi za sasa zinaonesha sukari inasababisha