MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1384; Mambo Matatu Yatakayokuwezesha Kufanya Maamuzi Bora Sana Kwenye Maisha Yako.
Moja ya changamoto kubwa kwenye zama tunazoishi sasa ni wingi wa maarifa na taarifa ambazo zinawafanya wengi washindwe kufanya maamuzi sahihi kwenye maisha yao. Kuna maarifa na taarifa nyingi ambazo zinakinzana na mtu anapofuatilia zote, anashindwa kujua afanye nini. Anaanza kubishana na yeye mwenyewe, anaanza kuwa na wasiwasi juu yake,