MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1389; Kama Unaweza Lakini Hufanyi, Ni Ubinafsi Na Hutaweza Kufanikiwa…
Ili ufanikiwe, unahitaji kufanya vitu tofauti na ulivyozoea kufanya, kwa namna tofauti na ulivyozoea, unahitaji kujituma na kujisukuma zaidi ya ulivyozoea. Wengi wanashindwa siyo kwa sababu hawawezi kufanya hayo, bali ni kwa sababu hawapo tayari kufanya. Hawapo tayari kujisukuma, hawapo tayari kuumia zaidi. Wengi wanakuwa wameridhika na kile ambacho tayari