MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; TABIA ITARAHISISHA MAMBO…
“Choose what is best, and habit will make it pleasant and easy.” — Plutarch Tuna siku nyingine mpya kabisa mbele yetu. Ni siku ambayo tumepata nafasi mpya na ya kipekee kwetu kwenda kufanya makubwa zaidi. Ni siku ambayo ina kila linalowezekana kwetu, kama tu sisi wenyewe tutachukua hatua sahihi kwenye