1418; Mchezo Ambao Hata Ukishinda Haukupi Furaha…

By | November 18, 2018
Michezo yote ambayo tunajihusisha nayo, huwa ina namna ya kupima ushindi, na ushindi ndiyo kila anayeshiriki mchezo anapigania. Na ipo hali fulani ya furaha na kujiamini ambayo mtu huwa unaipata pale unapopata ushindi kwenye mchezo unaocheza. Hata kama huchezi, kwa kuwa shabiki tu wa upande ulioshinda, unakuwa kwenye hali ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz