MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1418; Mchezo Ambao Hata Ukishinda Haukupi Furaha…
Michezo yote ambayo tunajihusisha nayo, huwa ina namna ya kupima ushindi, na ushindi ndiyo kila anayeshiriki mchezo anapigania. Na ipo hali fulani ya furaha na kujiamini ambayo mtu huwa unaipata pale unapopata ushindi kwenye mchezo unaocheza. Hata kama huchezi, kwa kuwa shabiki tu wa upande ulioshinda, unakuwa kwenye hali ya