MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1438; Kelele Zaidi Haitakusaidia…
Wote tunajua ya kwamba ili kufanikiwa lazima uweze kuitofautisha na wengine. Kufanya kile ambacho kila mtu anafanya, kwa namna ile ile ambayo wanafanya, kutakupelekea kupata matokeo ambayo wengine wanafanya. Sasa kama hayo ndiyo matokeo ambayo umekuwa unayapata na hayajakufikisha unakotaka kufika, unahitaji kuanza kufanya tofauti. Na tofauti unayopaswa kufanya ni