MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1441; Hatua Tatu Rahisi Za Kuikuza Biashara Yako…
Watu wananunua kwa watu wanaowajua, ndiyo maana hatua ya kwanza kwenye biashara yako ni kuhakikisha watu wanakujua, wateja wenye uhitaji wa kile unachouza wanajua upo na unacho wanachotaka. Hata uwe na kitu kizuri kiasi gani, kama watu hawajui uwepo wako huna biashara. Kujulikana ni muhimu na hapa ndipo unapopaswa kutangaza