1454; Kuacha Kila Kitu Kwa Sababu Ya Kitu Kimoja…

By | December 24, 2018
Hakuna kitu kimoja pekee ambacho kitakupa wewe kila unachotaka, hakipo. Lakini wengi huwa tunaweka matumaini makubwa sana kwenye kitu fulani ambacho tunakuwa tunakitegemea. Labda kuna kitu tunataka kufanya, ambacho tunaona ni kikubwa na kitakuwa na matokeo bora sana. Basi mawazo yetu yote yanakuwa kwenye kitu hicho na kusahau kabisa vitu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz