MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1454; Kuacha Kila Kitu Kwa Sababu Ya Kitu Kimoja…
Hakuna kitu kimoja pekee ambacho kitakupa wewe kila unachotaka, hakipo. Lakini wengi huwa tunaweka matumaini makubwa sana kwenye kitu fulani ambacho tunakuwa tunakitegemea. Labda kuna kitu tunataka kufanya, ambacho tunaona ni kikubwa na kitakuwa na matokeo bora sana. Basi mawazo yetu yote yanakuwa kwenye kitu hicho na kusahau kabisa vitu