1456; Kelele Za Nini?

By | December 26, 2018
Wahenga walisema debe tupu haliachi kuvuma. Wakimaanisha ya kwamba ukiona kitu kinapiga kelele basi jua kwa hakika ndani yake kuna utupu. Vitu vyote vyenye kelele havina nguvu, na vile vyenye nguvu havina kelele. Chukua mfano wa nguvu kubwa sana zilizopo hapa duniani, huwa hazina kelele, lakini huwa tunaona madhara yake,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz