MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1468; Kinachokupa Msongo Wa Mawazo Siyo Mambo Mengi Uliyonayo Ya Kufanya…
Tunapokuwa na mambo mengi ya kufanya huku muda wetu ukiwa mfupi, huwa tunapata msongo wa mawazo. Huwa tunafikiri kinachotupa msongo ni yale mambo mengi tuliyonayo ya kufanya, lakini hilo siyo sahihi. Kinachotupa msongo siyo yale mambo mengi tuliyonayo ya kufanya, bali namna tunavyofikiri kuhusu mambo hayo. Kinachotupa msongo wa mawazo