1470; Kucheza Akili Au Kucheza Karata…

By | January 9, 2019
Watu ambao hawana matumizi mazuri na akili zao, huwa wanatafuta njia ya kuzishughulisha lakini isiyo na maana. Kwa kuwa akili huwa haiwezi kukaa tupu bila ya kuwa na majukumu yoyote, usipoipa majukumu ya kufanyia kazi, yenyewe itatafuta majukumu ya kufanyia kazi. Usipokuwa na kitu muhimu unachofikiria, fikra hasi na hofu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz