MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1480; Matendo Yako Yaendane Na Maneno Yako…
Tumekuwa hatupati tunachotaka na wakati huo huo tunakuwa haturidhiki na maisha tuliyonayo. Na hii siyo kwa sababu wengine wanapata wanachotaka au wana maisha bora sana kuliko sisi, bali kwa sababu tunajua tunajikwamisha wenyewe. Tumekuwa tunajikwamisha sisi wenyewe pale ambapo maneno yetu hayaendani na matendo yetu. Tunasema na kuweka mipango mikubwa,