MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1501; Chanzo Kikuu Cha Matatizo Yote Unayokutana Nayo Kwenye Maisha Yako…
Daktari bingwa mmoja wa magonjwa ya akili amewahi kusema kwamba chanzo kikuu cha magonjwa ya akili kwa wengi ni kujaribu kuyakimbia majukumu yao kwenye maisha. Pale mtu anapoukataa uhalisia wa maisha yake, ndipo anapokaribisha magonjwa mbalimbali ya akili. Na hili lina ukweli mkubwa ndani yake, japo yapo magonjwa yenye sababu