1501; Chanzo Kikuu Cha Matatizo Yote Unayokutana Nayo Kwenye Maisha Yako…

By | February 9, 2019
Daktari bingwa mmoja wa magonjwa ya akili amewahi kusema kwamba chanzo kikuu cha magonjwa ya akili kwa wengi ni kujaribu kuyakimbia majukumu yao kwenye maisha. Pale mtu anapoukataa uhalisia wa maisha yake, ndipo anapokaribisha magonjwa mbalimbali ya akili. Na hili lina ukweli mkubwa ndani yake, japo yapo magonjwa yenye sababu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz