MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1510; Mafanikio Na Mafanikio Makubwa…
Kuna mafanikio na mafanikio makubwa. Pale unapokuwa kwenye asilimia 5 ya juu zaidi ya wengine, hapo umefanikiwa. Lakini unapokuwa kwenye asilimia 1 ya juu ya mafanikio, hapo una mafanikio makubwa na ya viwango vya juu. Sasa kinachokufikisha kwenye asilimia 5, siyo kitakachokufikisha kwenye asilimia 1 ya mafanikio. Utafika kwenye asilimia