MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1520; Epuka Tabia Hizi Zinazowazuia Wengi Kujisimamia Wenyewe Na Kupiga Hatua…
Ukiangalia binadamu kwa ujumla, utagundua tumegawanyika kwenye makundi mawili. Kundi la kwanza ni la wale wanaoweza kujiongoza wenyewe, hawa ndiyo wanaishia kuwa viongozi na kwa wengine pia na wanaofanikiwa sana. Kundi la pili ni wale ambao hawawezi kujiongoza wenyewe, hawa huishia kuwa wafuasi na hawapigi hatua kubwa kwenye maisha yao.