1520; Epuka Tabia Hizi Zinazowazuia Wengi Kujisimamia Wenyewe Na Kupiga Hatua…

By | February 28, 2019
Ukiangalia binadamu kwa ujumla, utagundua tumegawanyika kwenye makundi mawili. Kundi la kwanza ni la wale wanaoweza kujiongoza wenyewe, hawa ndiyo wanaishia kuwa viongozi na kwa wengine pia na wanaofanikiwa sana. Kundi la pili ni wale ambao hawawezi kujiongoza wenyewe, hawa huishia kuwa wafuasi na hawapigi hatua kubwa kwenye maisha yao.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz