1524; Kubali Kwamba Hujui…

By | March 4, 2019
Mwanafalsafa Socrates alichukuliwa kama mtu ambaye alikuwa akijua sana katika enzi alizoishi, na hata mpaka sasa ndivyo ilivyo. Lakini Socrates alipoulizwa kwa nini yeye ni mtu anayejua sana kuliko wengine? Na jibu lake lilikuwa kwamba kitu pekee ambacho yeye anajua ni kwamba hajui chochote. Hivyo kama hajui chochote, kazi yake

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz