MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1530; Mambo Mengi, Muda Mchache…
Hii ni kauli ambayo nimekuwa naona inatumiwa na watu wengi sana, wengi wanaitumia kama utani na wengine kama sababu. Lakini siyo wengi wanaoipa kauli hiyo uzito ambao inastahili. Kama utaipa kauli hiyo uzito unaostahili, itaweza kukusaidia sana kwenye maisha yako. Kama kweli unakiri mambo ni mengi na muda ni mchache,