1536; Sababu Mbili Zinazopelekea Wengi Kushindwa Kuvunja Tabia Mbaya Walizonazo…

By | March 16, 2019
Kama kuna tabia mbaya ambazo unashindwa kuzivunja, kunaweza kuwa na sababu kubwa mbili zinazosababisha ushindwe kuvunja tabia hizo. Sababu ya kwanza ni msongo wa mawazo, unapokuwa na msongo wa mawazo kuna baadhi ya tabia unaweza kuwa unazitumia kuondokana na msongo huo. Inawezekana ni manunuzi makubwa unayofanya ya vitu usivyohitaji, au

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz