1538; Kujifunza Mara Moja Na Ikatosha…

By | March 18, 2019
Ni kitu ambacho kiliondoka na vita kuu ya pili ya dunia. Katika zama tunazoishi sasa, hakuna unachoweza kujifunza mara moja na ukawa umeshajua kiasi cha kutosha na ukawa huhitaji kujifunza tena. Chochote unachojifunza leo, siku siyo nyingi zijazo kuna maarifa mapya yatakayotoka, ambayo yanafanya ulichojifunza leo kisiwe sahihi tena. Katika

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz