MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1542; Ondoka Kwenye Maamuzi Ya AMA/AU Na Nenda Kwenye Maamuzi Ya PAMOJA/NA.
Rafiki, eneo kubwa tunalokwama katika kupiga hatua kwenye maisha ni aina ya maamuzi ambayo tunafanya. Kwa kuwa maamuzi ndiyo yanayoamua ni hatua zipi tunachukua, tukifanya maamuzi bora tutachukua hatua kubwa na tukifanya maamuzi mabovu tutachukua hatua ambazo siyo nzuri. Kuna mitazamo miwili ya kufanya maamuzi ambayo unapaswa kuijua na kujua